Luke 8:1

Mfano Wa Mpanzi

(Mathayo 13:1-9; Marko 4:1-9)

1 aBaada ya haya Yesu alikwenda, akawa anazunguka katika miji na vijiji akihubiri habari njema za Ufalme wa Mungu. Wale wanafunzi wake kumi na wawili walikuwa pamoja naye,
Copyright information for SwhNEN